WANANCHI WA MABOGINI WANUFAIKA NA MRADI WA RISE
MOSHI-KILIMANJARO Wananchi wa kijiji cha Mabogini, kata ya Mabogini, wilayani Moshi Mkoani Kilimanjaro, wameishukuru Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kupitia mradi wa RISE…
DALILI ZA UWEPO WA GESI ASILIA ZAONEKANA KATIKA KITALU CHA LINDI-MTWARA
BRYSON MSHANA,MTWARA Utafiti unaoendelea kufanyika katika Kitalu cha Lindi–Mtwara, mkoani Mtwara umeonesha dalili za uwepo wa Gesi Asilia, hususani katika vijiji vya Mnyundo na Mpapura, mkoani…
ZAIDI YA BILIONI 27 KUIPENDEZESHA MANISPAA YA MTWARA-MIKINDANI KUPITIA MRADI WA TACTIC
BRYSON MSHANA, MTWARA Manispaa ya Mtwara-Mikindani mkoani Mtwara imesaini mkataba wa fedha zaidi ya shilingi bilioni 27 zinazolenga katika uboreshaji wa miundombinu ya mji kupitia Mradi…
KOROSHO MARATHON MSIMU WA NNE KUFANYIKA NOVEMBA 29, 2025
BRYSON MSHANA, MTWARA Bodi ya Korosho Tanzania (CBT), imetangaza rasmi ratiba ya Korosho Marathon msimu wa nne, ambayo mwaka huu inatarajiwa kufanyika tarehe 29 Novemba 2025…
SERIKALI ITAENDELEA KUTOA RUZUKU YA PEMBEJEO KWA WAKULIMA WA KOROSHO – DKT. NCHIMBI
BRYSON MSHANA, MTWARA Mgombea wa nafasi ya Makamu wa Rais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Emmanuel Nchimbi, ameahidi kuwa serikali itaendelea kutoa ruzuku ya pembejeo…
CBT YAENDELEA NA MAANDALIZI YA MSIMU WA MAUZO YA KOROSHO GHAFI 2025/2026
BRYSON MSHANA, MTWARA Bodi ya Korosho Tanzania (CBT) imeeleza kuwa maandalizi ya msimu mpya wa mauzo ya korosho ghafi wa mwaka 2025/2026 yanaendelea kwa vizuri, huku…
BANDARI YA MTWARA YAONGEZA UFANISI KATIKA KUHUDUMIA SHEHENA YA KOROSHO
BRYSON MSHANA, MTWARA Bandari ya Mtwara imefanikiwa kuongeza kiwango cha ufanisi katika kuhudumia shehena ya korosho baada ya kufanikisha usafirishaji wa jumla ya tani 370,896 katika…
DKT. SAMIA AAHIDI NEEMA MIKOA YA KUSINI, LNG KUKAMILIKA LINDI
BRYSON MSHANA, LINDI Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameahidi kukamilika kwa mradi mkubwa wa uchakataji na usindikaji wa gesi asilia…
OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI MKOA WA MTWARA YAFANYA KIKAO CHA KWANZA CHA KAMATI YA USHAURI WA KISHERIA
BRYSON MSHANA, MTWARA Ofisi ya Mwanasheria mkuu wa Serikali Mkoa wa Mtwara, imefanya kikao cha kwanza cha Kamati ya ushauri wa kisheria, chenye lengo la kupeana…
BALOZI WA URUSI AKUTANA NA MKURUGENZI WA BODI YA KOROSHO TANZANIA KUIMARISHA USHIRIKIANO WA KIBISHARA
ABDUL LUKANGA, MTWARA Balozi wa Urusi nchini Tanzania, Andrey Avetisyan, amefanya ziara rasmi ya kutembelea Bodi ya Korosho Tanzania mkoani Mtwara, ikiwa ni sehemu ya juhudi…









